Skip to main content
Skip to main content

Daktari Iqbal Khandwalla alaumiwa kwa utepetevu wa uongozi wa Coast General

  • | Citizen TV
    7,088 views
    Duration: 3:06
    Mvutano umeibuka kati ya serikali ya kaunti ya mombasa na madaktari kufuatia kusimamishwa kazi kwa afisa mkuu wa hospitali ya coast general iqbal khandwalla. Huku madaktari wakitishia mgomo, kaunti ya mombasa imepuuza siasa katika kusimamishwa kwake kazi.