Skip to main content
Skip to main content

David Kiaraho azikwa Tigoni, viongozi wamsifu

  • | Citizen TV
    634 views
    Duration: 1:23
    Mbunge wa Ol Kalou David Kiaraho amezikwa nyumbani kwake leo katika eneo la Tigoni, eneo bunge la Limuru, kaunti ya Kiambu. Viongozi waliohudhuria mazishi walimmiminia sifa kwa kuwa kiongozi mchapa kazi.