Skip to main content
Skip to main content

DCI wamkamata mshukiwa wa wizi wa simu Kericho baada ya kuanzisha msako

  • | Citizen TV
    838 views
    Mshukiwa mmoja amekamatwa na simu zaidi ya ishirini kunaswa pamoja na vifaa vya kusafisha mfumo wa simu hizo. Kulingana na idarab ya upelelezi, simu nyingi zinazoibiwa huishia nchi za Tanzania,Uganda , Rwanda na Burundi. Katika operesheni ya kuwanasa wahusika ,eneo la Kericho lilipatikana kuwa eneo wanalotumia sana kusafisha mfumo wa simu hizi baada ya kuibiwa.