DRC yaanza kuuza vitalu vya mafuta na gesi
DRC Oil Drill
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inatarajia kupiga mnada maeneo yake ya mafuta na gesi asilia ili kuruhusu shughuli za uchimbaji mafuta kwa wawekezaji binafsi. Hata hivyo mpango huo umekabiliana na ukosoaji kutoka kwa wanamazingira wanaodai kuwa maeneo mengi yanahitaji kulindwa. Mwandishi wetu wa Kinshasa Byobe Malenga alitembelea maeneo hayo nakutuandalia ripoti ifuatayo.
PKG Phoenix Heat
Phoenix, Arizona, is one of the hottest urban centers in the United States. More than 300 people in and around the city died of heat-related causes in each of the past two years. As Mike O'Sullivan reports, Phoenix has joined a growing number of cities that are searching for ways to cope with a changing climate. Camera: Lucas Mullikin. Abdushakur amefanya hii package
DRC Business
Mjini Goma kivu Kaskazini wakazi wanaomba suluhisho kuhusu mzozo kati ya DRC na Rwanda na tatizo la wapiganaji wa M23 ambao wamesababisha maisha kuwa magumu kutokana na mpaka kati ya Uganda na DRC kufungwa tangu waasi waudhibiti mji wa Bunagana. Mwandishi wetu wa DRC Austere Malivika ana ripoti zaidi.
EAC PKG
Wakati Mkutano wa Wakuu wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya
Afrika Mashariki ukitarajiwa hapo kesho Ijumaa, mchakato kueleka
soko la pamoja ndani ya jumuiya hiyo bado unasuasua huku nchi
wanachama zikielezwa kuwa chanzo cha kuchelewa kufikia lengo
hilo muhimu, idd UWESU na taarifa zaidi
Entertainment
Hii leo basi ikiwa ni siku ya alhamisi tunakuwa na mkusanyiko wa habari za burudani zilizotamba wiki hii, tumpshe Sunday Shomari kutueleza zaidi.
25 Apr 2024
- He stated that he received a call from his father, after arriving in Nigeria alerting him of the situation.
25 Apr 2024
- Kenya Power also revealed the locations where the services will be offered for free.
25 Apr 2024
- Residents of the area, have warned that the area is a potential hazard.
26 Apr 2024
- Italy on Thursday condemned the death sentence handed to an Iranian rapper for supporting nationwide protests sparked by the death of the young Kurdish woman Mahsa Amini.
26 Apr 2024
- Israel stepped up airstrikes on Rafah overnight after saying it would evacuate civilians from the southern Gazan city and launch an all-out assault despite allies' warnings this could cause mass casualties.
26 Apr 2024
- At least 118 inmates escaped from prison after heavy rains on Wednesday night damaged the facility in Suleja near the Nigerian capital, a prison service spokesperson said.
26 Apr 2024
- Reading Time: 2 minutes Fencing star Alexandra Ndolo is oozing with confidence that she is going to write more history for Kenya in the […]
26 Apr 2024
- Tanzania on Thursday dismissed as "unfounded" allegations of killings, rapes and the planned evictions of over 20,000 people that led the World Bank to suspend funding for a $150 million (Ksh.20.2 billion)conservation project.
26 Apr 2024
- Reading Time: 2 minutes KCB RFC head coach Curtis Olago has expressed his confidence with his charges ahead of Saturday’s Enterprise Cup quarterfinal duel […]
26 Apr 2024
- City preacher James Wanjohi and three directors of two companies allegedly involved in scamming thousands of Kenyans over Ksh. 1 billion with a promise to help them secure jobs abroad and travel visas have been stopped from leaving the country.
26 Apr 2024
- China on Thursday sent three astronauts to its permanently inhabited space station for a six-month stay, in a regular rotation of Chinese astronauts onboard the "Tiangong" orbiting high above the Earth's atmosphere.
26 Apr 2024
- Former National Enquirer publisher David Pecker testified at Donald Trump's criminal trial on Thursday that he worked out a deal that would allow Trump to buy the silence of a former Playboy model who said she had an affair with him but called it off.
26 Apr 2024
- Siaya Governor James Orengo has hit out at EACC CEO Twalib Mbarak over his thinly-veiled remarks intimating an ongoing graft probe in the devolved unit.