Skip to main content
Skip to main content

Duale amuonya Gachagua kuhusu madai ya bima ya SHA

  • | Citizen TV
    4,157 views
    Duration: 1:43
    Naye waziri wa Afya Aden Duale amemsuta kinara wa dcp rigathi gachagua kwa madai yake ya ufisadi kwenye bima ya afya ya sha. Kulingana na Duale, madai ya Gachagua hayana msingi wowote akimtaka naibu huyo wa zamani wa rais atoe ushahidi na kuwacha kuwachochea walimu na wakenya wengine ambao wamefaidika na bima hiyo. Amezungumza hapa nairobi kwenye hafla ya kuchangisha pesa za taasisi moja ya elimu ya kidini