13 Jul 2026 1:35 pm | Citizen TV 163 views Duration: 1:19 Tume ya maadili na kupambana na ufisadi (EACC) inaadhimisha Siku ya Afrika ya Kupambana na Ufisadi kwa kuangazia mikakati ya kuimarisha uadilifu, uwajibikaji na uwazi katika utoaji wa huduma kwa umma.