- 2,155 viewsDuration: 2:38Familia 30 mtaani Kamuthi, Kahawa West jijini Nairobi, zinalilia haki baada ya wahuni kuwavamia na kuharibu mali katika shamba lao na kuwalazimisha familia hizo kuhama. Baadhi ya familia hizo zinadai kurithi ardhi hiyo kutoka kwa wazee wao tangu miaka ya 90.