- 2,100 viewsDuration: 2:09Familia moja kutoka kijiji cha Kasarini katika eneo bunge la Kiambu inaishi kwa hofu ya kufurushwa kutoka kwao baada ya watu wasiojulikana kuvamia shamba lao la zaidi ya ekari 248, wakitumia magenge na kuanza kuliwekea uzio.