NDOTO YA MZAZI
Familia ya David Angwenyi inaitaka wizara ya masuala ya kigeni kuisaidia katika kisa ambapo inataka ombi lao la visa liangaziwe upya ili waweze kusafiri nchini Uingereza kwa mahafali ya mwana wao wa kiume, baada ya ombi la kwanza kukataliwa. Familia hiyo imesema inahofia itakosa kushiriki katika sherehe hiyo muhimu ya mwana wao Bryan Angwenyi, licha ya kujinyima kwa miaka mingi ili kufadhili elimu ya mwanao ambayo iliwagharamu takriban shilingi milioni nane.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive