Skip to main content
Skip to main content

Familia ya Kawangware yalilia haki baada ya kifo cha jamaa yao baada matibabu ya meno

  • | Citizen TV
    11,216 views
    Duration: 3:51
    Familia moja katika eneo la Kawangware hapa Nairobi inatafuta haki kwa jamaa yao aliyezidi kuugua baada ya matibabu ya meno. Amos Isokaa alilazimika kulazwa hospitalini kurekebishwa hali aliyo nayo baada ya kudai utepetevu wa kliniki ya awali aliyozuru.