Skip to main content
Skip to main content

Familia ya Kiamaiko yaomba msaada wa serikali kumtafuta mtoto wao wa mwaka mmoja aliyeibwa

  • | Citizen TV
    1,473 views
    Duration: 1:11
    Familia moja eneo la Kiamaiko, Nairobi imeomba serikali kuwasaidia kumtafuta mwana wao wa mwaka mmoja aliyeibiwa nyumbani kwao jana mchana.