Skip to main content
Skip to main content

Gachagua apata pigo huku Mahakama Kuu ikitupilia mbali ombi la kupinga kuondolewa kwake madarakani

  • | BBC Swahili
    13,374 views
    Duration: 4:05
    Aliyekuwa naibu Rais nchini Kenya Rigathi Gachagua amepata pigo baada ya Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi aliyowasilisha na kutoa uamuzi kuwa Bunge lilichukua hatua kulingana na Katiba ya nchi kumuondoa madarakani. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw