Skip to main content
Skip to main content

Gachagua ataka mabadiliko ya viongozi wa usalama Nakuru kutokana na hali ya ukosefu wa usalama

  • | Citizen TV
    1,705 views
    Duration: 2:58
    Kinara wa DCP Rigathi Gachagua sasa anataka maafisa wakuu wa usalama kaunti ya Nakuru kubadilishwa, akisema wameshindwa kutekeleza majukumu yao. Akizungumza wakati wa mazishi ya kasisi Julius Ngari aliyeuawa katika makazi yake ndani ya majengo ya kanisa la PCEA Tabuga, Gachagua amesema utepetevu wa usalama Nakuru umekithiri katika hali inayowatia hofu wakazi na viongozi wa makanisa.