- 1,334 viewsDuration: 2:29Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua ameitaka Serikali Kutoa majibu kuhusu mauaji ya Kasisi Msimamizi wa Kanisa la PCEA Tabuga huko Nakuru, Marehemu Kasisi Julius Ndumia aliyepatikana ameuwawa wiki iliyopita akiwa katika makazi yake ndani ya kanisa.