- 132 viewsDuration: 2:09Gavana wa Kwale Fatuma Achani amefungua rasmi kisima cha maji kilicho na mtambo wa kusafisha maji ya chumvi cha Shirika la kijamii la Masowatt huko Kilibasi pamoja na usambazaji wa mabomba ya maji ya Mtulu kwenda Mwakunde, Mwanzungu na Magalani huko Kinango.