- 107 viewsDuration: 1:27Gavana wa Kaunti ya West Pokot, Simon Kachapin, anaitaka serikali kufutilia mbali leseni zote za wachimbaji dhahabu katika kaunti hiyo, akisema kuwa wengi wao hawajazingatia sheria za kulinda mazingira na hivyo kusababisha uharibifu mkubwa wa mazingira katika eneo hilo.