Gavana wa Jimbo la Kivu Kaskazini atembelea maeneo yaliyoshambuliwa na waasi
Meja Jenerali Peter Cirimwami ambaye pia ni Gavana wa jimbo la Kivu Kaskazini huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo siku ya Alhamisi ametembelea maeneo ambayo yanashambuliwa na waasi wa M23. Pia alifanya tathmini kwenye maeneo ya makazi ya raia yenye idadi kubwa ya watu.
Makazi hayo yako mjini karibu na mji wa Goma na eneo la Sake kiasi cha kilometa 25 magharibi mwa Goma.
Gavana Cirimwani alifuatana na Kamati ya Usalama ya jimbo la Kivu Kaskazini. Meja Jenerali Cirimwami baadaye alitembelea kambi mbalimbali za wakimbizi zilizopo maeneo ambapo yanaendelea kukumbwa na mapigano.
Ripoti hii maalum imeandaliwa na mwandishi wetu wa Goma Austere Malivika.
#goma #kivukaskazini #jimbo #waasi #m23 #raia #makombora #sake #gavana #cirimwani #mejajenerali #voa #voaswahili
27 Apr 2024
- NHIF cardholders had raised concerns over facing challenges in accessing medical services.
27 Apr 2024
- The government has maintained that schools will reopen starting Monday next week.
27 Apr 2024
- NTSA has been undertaking a nationwide crackdown alongside the police.
27 Apr 2024
- Sebastian Ojiambo has lived on fishing for many years. Every time he prepared his fishing nets and pushed his boat into the water, Ojiambo was sure of getting enough fish, not only for his family to eat at home but also to sell some for money he used to…
27 Apr 2024
- Three more bodies have been retrieved from Kwa Muswii River in Makueni County where a lorry lost control while carrying locals and ballast on Friday.
27 Apr 2024
- Kiambaa Sub County Security Committee have arrested more than 30 youths who were found drinking alcohol in one of the notorious Paradiso Bars in Kihara town following a tip-off from the public.
27 Apr 2024
- Siaya Governor James Orengo is the latest leader to dismiss the proposal by the Ministry of Public Service to transfer all public service employees from permanent and pensionable terms to contracts as a shame and a very crazy idea that they will…
27 Apr 2024
- NHIF cardholders had raised concerns over facing challenges in accessing medical services.
27 Apr 2024
- Francis Atwoli says those behind the parallel Labour Day celebrations are opportunists trying to capitalise on Cotu's achievements.
27 Apr 2024
- The government has maintained that schools will reopen starting Monday next week.
27 Apr 2024
- President William Ruto has garnered Zimbabwe’s support for Raila Odinga’s bid for the African Union Commission (AUC) chairperson job in a diplomatic manoeuvre that showcased Kenya’s strategic influence in the region. Addressing reporters during…
27 Apr 2024
- NTSA has been undertaking a nationwide crackdown alongside the police.
27 Apr 2024
- Ruto has once again managed to add to the support for Kenya's AU bid, with the elections drawing near.