17 Jul 2026 1:24 pm | Citizen TV 158 views Duration: 1:17 Gavana wa kaunti ya vihiga dkt.Wilber Ottichilo aongoza hafla za uzinduzi wa miradi ya umwagiliaji maji ya banja na hamuyundiya itakayogharimu zaidi ya shilingi milioni 50 katika maeneo bunge ya sabatia na hamisi .