Gavana wa Kiambu, Kimani Wamatangi, ameapa kutokubali kile anachokitaja kuwa vitisho na visingizio vya kisiasa kutoka kwa wapinzani wake katika kutekeleza ajenda yake ya maendeleo.Wakati huohuo, afisi ya Msajili wa Vyama vya Kisiasa leo imeendelea kutoa mafunzo na kukuza uwezo kwa maafisa wa vyama vya kisiasa, ikiwa ni maandalizi ya kabla ya uchaguzi. Mwanahabari wetu John Kahiro ana maelezo zaidi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive