Skip to main content
Skip to main content

Guterres azindua ujenzi wa ofisi za Umoja wa Mataifa Nairobi

  • | Citizen TV
    870 views
    Duration: 3:06
    Kuwekeza jijini Nairobi ni manufaa makubwa kwa Umoja wa Mataifa. Hayo ni kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa shirika hilo António Guterres, ambaye amezindua ujenzi wa ukumbi wa kongamano na ofisi zaidi za Umoja wa Mataifa katika makao ya Gigiri jijini Nairobi. Guterres amesema kwamba ujenzi wa ofisi hizo utakuwa na manufaa makubwa kwa Wakenya, huku pia wafanyakazi zaidi wa Umoja wa Mataifa wakitarajiwa nchini mwaka huu kutoka jijini New York.