Wizara ya afya imefunga vituo elfu 1,118 vya afya kote nchini kwa madai ya kuhusika kwenye ulaghai kupitia mfumo wa halmashauri ya afya ya jamii SHA. Haya ni kwa mujibu wa waziri wa afya Aden Duale, ambaye alisema kwamba baadhi ya vituo hivyo vinalazimisha upasuaji wakati wa kujifungua ili kudai malipo zaidi. Waziri alifichua hayo wakati wa warsha ya wabunge inayoendelea mjini Naivasha kaunti ya Nakuru.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive