- 3,301 viewsDuration: 2:43Huzuni na Simanzi zilitanda Bobasi kaunti ya Kisii katika mazishi ya Vincent Osiemo aliyeaga dunia huko Keumbu ghasia zilipozuka katika mkutano wa Linda Mwananchi. Waliomfahamu walimtaja Osiemo kama kijana aliyetia bidii kuisaidia familia yake. Na kama anavyoripoti Chrispine Otieno viongozi wa kisiasa walitumia fursa hiyo kukashifu vurugu inayozidi kushuhudiwa katika hafla mbalimbali za Kisiasa.