Skip to main content
Skip to main content

Idadi ya Wakenya waliopotea Urusi yaongezeka hadi 16

  • | Citizen TV
    830 views
    Duration: 3:13
    Idadi ya Wakenya wanaoripotiwa kupotea nchini Urusi imeongezeka kutoka 10 hadi 16 ndani ya saa 24 zilizopita. Akiwa mbele ya kamati ya Seneti kuhusu usalama na mashauri ya kigeni, waziri wa mashauri ya kigeni Musalia Mudavadi amethibitisha kuongezeka kwa idadi hiyo akasema kuwa bado haijulikani ikiwa watu hao wako hai au wamefariki.