Skip to main content
Skip to main content

IEBC na Idara ya polisi watoa hakikisho kuwa uchaguzi wa Ol Kalou utakuwa wa huru na haki

  • | NTV Video
    196 views
    Duration: 2:09
    IEBC kwa ushirikiano na Idara ya polisi na washikadau wengine wanaohusika na uchaguzi nchini imetoa hakikisho kuwa mikakati kabambe imewekwa kuhakikisha kuwa uchaguzi katika eneo la Ol Kalou kaunti ya Nyandarua utakuwa wa huru na haki. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya