Skip to main content
Skip to main content

IEBC yapuuza madai ya hitilafu katika sajili ya wapigakura Ol Kalou

  • | Citizen TV
    149 views
    Duration: 50s
    Tume huru ya uchaguzi na uratibu wa mipaka IEBC, imepuuza madai kuwa sajili ya wapigakura ya eneobunge la ol kalou imehitilafiwa. akizungumza na wanahabari hapa jijini nairobi, mwenyekiti wa tume hiyo erastus ethekon amewakikishia wakazi kuwa uchaguzi huo mdogo wa alhamisi utakuwa huru na wa haki.