- 284 viewsMkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Fedha, IMF, Kristalina Georgieva yuko nchini Rwanda kwa ziara ya siku tatu. Akiwa mjini Kigali amekutana na mawaziri wa fedha pamoja na magavana wa benki kuu za Rwanda, Uganda, Kenya na Sudan Kusini. Mkurugenzi Mkuu huyo amesema kwamba shirika lake liko tayari kusaidia miradi mikubwa ya maendeleo kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa. Amesema ili mataifa haya yaweze kufanikiwa kuna umuhimu wa kuandaa miradi mizuri ambayo inaweza kupata ufadhili hasa kwa kuzingatia kuwa pesa iliyopo haitoshi. #mkurugenzi #shirikalakimataifalafedha #imf #rwanda #afrikamashariki #voa #voaswahili #rwanda - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
IMF yatoa wito kwa mataifa ya Kiafrika kuandaa miradi inayoweza kupata ufadhili
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Office of retired president crippled with budget freezes that Uhuru's staff attribute to politics of retribution.
- 19 May 2024 - Experts call on government to focus on growing the GDP.
- 19 May 2024 - Ruto calls for planting 15 billion trees by 2032 to rehabilitate forests, improve the climate, limit floods and landslides and give us shade.
- 19 May 2024 - Neither side is backing down now but a peace treaty between the two countries may not be as ‘impossible’ as it may now seem.
- 19 May 2024 - It’s not for KDF to fight bandits or intervene in clan violence, risking loss of prestige and if it struggles at home, foreign enemies gloat.
- 19 May 2024 - Once you are elected, the Constitution almost expects you to cease to be a Kikuyu but the DP of all the people.
- 19 May 2024 - For a decade, French former childcare worker Sophie Rollet carried out her own, lonely investigation to make US auto equipment group Goodyear accountable for the death of her husband, Jean-Paul, in a collision linked to the company's tyres. Rollet's…
- 19 May 2024 - Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
- 19 May 2024 - Hussein Julood is taking legal action against British energy giant BP after he lost his son to leukaemia, which he alleges was caused by gas flaring at Iraq's largest oil field. BP is one of the biggest foreign players in Iraq's oil sector, with a…
- 19 May 2024 - Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.