- 34,026 viewsDuration: 28:10Balozi wa Marekani huko Beirut, Michel Issa asema Israel na Lebanon zinatarajiwa kushiriki katika mazungumzo zaidi huko Washington hivi karibuni, licha ya kuongezeka kwa mashambulizi ya kijeshi Kusini mwa Lebanon. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw