Skip to main content
Skip to main content

Jaji mkuu Martha Koome ataka mahakama kuachiliwa uhuru wake

  • | Citizen TV
    3,832 views
    Duration: 2:34
    Jaji Mkuu Martha Koome ametetea uhuru wa idara ya mahakama akisema kamwe haitayumbishwa na shutuma kuhusu utendakazi wake. Koome akitoa hakikisho kuwa majaji wataendelea kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia katiba