Skip to main content
Skip to main content

Jamii ya wafugaji Samburu yakumbatia mfumo wa jadi wa kutabiri hali angani

  • | Citizen TV
    527 views
    Duration: 3:31
    Jamii ya wafugaji ya wa samburu imezidi kukumbatia Mila ya wazee kutumia maziwa ya kuganda ya mbuzi kutabiri Hali ya hewa na kuiwezesha Jamii kujipanga. Na kama Mwanahabari wetu Bonface Barasa anavyoarifu utabiri huo umeingiliana na ule wa wataalamu wa utabiri wa hali ya anga, waliotabiri kuwa maeneo ya Samburu kaskazini na Mashariki yatashuhudia mvua za vuli kipindi Cha mwezi Oktoba, Novemba na Disemba wafugaji wakitakiwa kutahadhari.