- 216 views
Aliwacha kazi ya kuwahudumia wanawake na kugeukia kuwalea watoto waliotupwa na mayatima wachanga. Jane Wanjiku Karigoh, mmiliki wa kituo cha watoto cha Calvary Zion eneo la Bamburi kaunti ya Mombasa ameifanya huduma hii akijitolea kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Baadhi ya watoto aliowachukuwa wakiwa wametupwa kwenye taka baada ya mama zao kujifungua na amewalea na kuwabadilisha wengine wakiajiriwa na hata kuolewa. Wanjiku ndiye anayetupambia makala ya mwanamke Bomba wiki hii
Jane Wanjiku anawalea watoto eneo la Bamburi
- - FKF Premier League ››
- 17 May 2025 - The deep cracking sound bursting from within the ice signals the dramatic fall about to happen. Seconds later, a block of ice some 70 meters (230 ft) tall - the size of a 20-story building - collapses from the face of the Perito Moreno glacier into the…
- » Is our son dead or alive? Family of Kenyan officer ‘missing’ in Haiti issues fresh ultimatum to Murkomen17 May 2025 - Family of missing police officer says it will sue the State if their demand is not honoured.
- 17 May 2025 - Residents feel forsaken and betrayed by the government after the latest attack on the village.
- 17 May 2025 - Toothless: NCIC on the spot for failing to check hate speech
- 17 May 2025 - City Hall defies court order, evicts Woodley residents over rent arrears
- 17 May 2025 - Local financiers to get bigger pie of PPPs in new proposal
- 17 May 2025 - America's double standards on genocide is a concern for Africa
- 17 May 2025 - “Equality includes the full and equal enjoyment of all rights and fundamental freedoms.”
- 17 May 2025 - Gachagua's lofty promises are part of a familiar script that excited the country three years ago.
- 17 May 2025 - Campaigns empower morans and elders to abandon harmful traditions, protect girls, and support alternative rites of passage.