Skip to main content
Skip to main content

Je, mavazi yanaweza kumgharimu mtu kazi?

  • | BBC Swahili
    11,557 views
    Duration: 1:09
    Hilo ndilo lililomtokea kwa gavana mmoja nchini Uturuki, ambaye ameondolewa madarakani baada ya kuonekana akiwa amevaa nguo za kubana za waendesha baiskeli. Hata hivyo, uamuzi huo umeibua mjadala mkali. Mwandishi wa BBC @beldeen__waliaula anafafanua zaidi. - - #bbcswahili #mavazi #uturuki #uongozi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw