Skip to main content
Skip to main content

Jeshi la Polisi Tanzania yapiga marufuku maandamano Disemba 9

  • | BBC Swahili
    20,943 views
    Duration: 1:31
    Jeshi la polisi nchini Tanzania limepiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanyika nchi nzima Desemba 9, 2025. Msemaji wa Polisi David Misime, amesema waandamanaji hao hawajatuma barua yeyote kwa jeshi la polisi kuomba kibali hadi leo hii na hawana anuani maalumu, hivyo jeshi la polisi halina budi kupiga marufuku 'maandamano hayo yanayotajwa kuwa ya amani' - - #bbcswahili #polisi #maandamano #amani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw