BBC imebaini ushahidi mpya kuhusu aliyekuwa kiongozi wa kanisa kubwa nchini Nigeria ,TB Joshua kuwa alificha maiti na kuzitisha familia baada ya kuporomoka kwa jengo ambalo liliua watu wapatao 116 katika kanisa lake mwaka 2014.
Kuporomoka kwa jengo hilo ni miongoni mwa maafa mabaya zaidi kuwahi kutokea katika sehemu za Ibada barani Afrika.
Kwa mara ya kwanza wafuasi wa ndani wa kanisa la TB Joshua la Synagogue Church of All Nations (Scoan) mjini Lagos wanatoa ushahidi wa kilichosababisha ajali hiyo iliyotokea karibu miaka kumi iliyopita, na jinsi mchungaji huyo anavyoshutumiwa "kuficha ukweli wa ajali."
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has announced plans to set up a joint committee with the CEOs of insurance companies across the country to tackle fraudulent activities that have been plaguing the Social Health Authority (SHA).
18 Aug 2025
- President William Ruto has vowed to ensure that Members of Parliament and Senators behind an extortion scheme called soko huru are apprehended.
18 Aug 2025
- The death toll from a blast at a gunpowder plant near Moscow rose to 20, with more than 100 wounded, the authorities said on Monday, as a probe began into possible industrial safety violations.