Skip to main content
Skip to main content

Kalonzo Musyoka asuta chama cha ODM kwa kupotea njia

  • | Citizen TV
    2,264 views
    Duration: 1:29
    Kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka jumanne aliandaa mkutano na wajumbe wa viongozi kutoka eneo la Nyanza katika makao makuu ya chama hicho jijini Nairobi.