Skip to main content
Skip to main content

Kamanda wa polisi Papita Ranka asema kuwa zoezi la uajiri wa polisi litakuwa huru

  • | Citizen TV
    1,371 views
    Duration: 1:43
    Kamanda wa Polisi wa eneo la Kaskazini Mashariki, Papita Ranka, amewahakikishia wakazi wa eneo hilo kuwa mchakato wa uajiri wa polisi unaotarajiwa kuanza hivi karibuni utakuwa huru na wa haki.