- 177 viewsDuration: 2:25Wanachama wa kamati ya Bunge la Taifa kuhusu ardhi wanataka hatua zichukuliwe dhidi ya usimamizi wa Shirika la Maendeleo ya Kilimo kwa kushindwa kufika mbele yake kuhusu usimamizi wa ardhi ya ekari 250,000 katika Kaunti za Tana river na Kilifi.