14 Apr 2026 1:12 pm | Citizen TV 4,462 views Duration: 7:20 Kamati ya Bunge la taifa kuhusu Kawi na Petroli imezuru maghala ya Mafuta ya Kampuni ya Kenya Pipeline jijini Nairobi kuchunguza kiini cha uhaba wa mafuta katika maeneo mbali mbali nchini.