- 451 viewsDuration: 2:53Kamati maalum iliyobuniwa kuchunguza visa vya ukatili wa kijinsia imetaka serikali kutangaza mauaji ya wanawake kuwa janga la kitaifa. Haya yaliibuka wakati kamati hiyo inayoongozwa na naibu jaji mkuu wa zamani nancy barasa ilipowasilisha ripoti yake kwa rais william ruto mapema leo. Na kama maryanne nyambura anavyoarifu, ripoti hiyo imeonyesha kuwa asilimia 34 ya wanawake nchini wanapitia ukatili.