- 235 viewsDuration: 1:39Kamati ya olimpiki nchini NOC-K imesisitiza umuhimu wa makocha katika kudumisha ubora wa Kenya katika riadha kimataifa wakati wa mafunzo yanayoendelea ya makocha yaliyoandaliwa na noc-k kwa kushirikiana na kituo cha maendeleo ya riadha afrika.