13 Jul 2026 1:30 pm | Citizen TV 608 views Duration: 1:45 Kamati ya usalama kaunti ya Kisumu sasa imesema kuwa inashirikiana na majasusi kukamata wahusika wa ghasia za Jumapili jijini Kisumu, ambapo watu wawili walifariki na pikipiki tisa kuteketezwa.