- 861 views
Baraza kuu la waisilamu nchini Supkem limetangaza kuondolewa kwa kampuni 27 za usafiri kutoka kwenye orodha ya kampuni zilizoidhinishwa kushughulikia mipango ya ibada ya hajj. Mwenyekiti wa Supkem Hassan Ole Naado akisema kuwa, ni kampuni 50 pekee zilizoidhinishwa kuwasafirisha waumini wanaoelekea Saudi Arabia kwa ibada hii ya kila mwaka. Supkem sasa ikiwataka waumini wanaonuia kufanya ibada hii kuhakikisha wanapata huduma kutoka kwa kampuni zilizoidhinishwa
Kampuni 27 za usafiri zaondolewa kwenye orodha ya kusafirisha waumini wanaoelekea Saudi Arabia
- 22 Jul 2025 - The families of victims of South Korea's deadliest plane crash on home soil have denounced a government report which blamed the disaster on pilot error, a representative told AFP Tuesday.
- 22 Jul 2025 - ODM leaders have slammed the opposition brigade for rejecting an intergenerational dialogue proposed by former Prime Minister Raila Odinga.
- 22 Jul 2025 - The traffic crisis in the country's capital has been on the rise.
- 22 Jul 2025 - Murkomen noted that DCI officers have already commenced further investigations into the matter.
- 22 Jul 2025 - The openings span 14 job categories in areas such as engineering, construction, surveying, planning, renewable energy, and law.
- 22 Jul 2025 - Nominated Member of Parliament (MP) Sabina Chege has stated that disrupting essential services can be classified as an act
- 22 Jul 2025 - Other prominent government officials also made contributions.
- 22 Jul 2025 - “Those whose job is preaching anarchy in the Republic of Kenya, we have no space for them, we want peace.”
- 22 Jul 2025 - Salient Secondary School in Ol Kalou is set to be closed to pave the way for the establishment of the first-ever university in Nyandarua County.
- 22 Jul 2025 - The application should be submitted by September 6, 2025.