Skip to main content
Skip to main content

Kampuni ya maji ya Tana Athi yawekeza Ksh. 330M kwa mradi wa maji Kinanie

  • | Citizen TV
    159 views
    Duration: 1:14
    Shirika la Maji la Tana Athi limewekeza shilingi milioni 330 kuboresha upatikanaji wa maji katika Mradi wa Serikali wa Viwanda vya Ngozi wa Kinanie, Machakos. Mradi huo unahusisha uchimbaji wa visima, ujenzi wa matenki ya kuhifadhi maji na uwekaji wa mabomba ya usambazaji wa maji kwa matumizi ya viwandani na ya nyumbani.