- 3,258 viewsDuration: 2:56Wiki chache baada ya kimya kingi kuhusu sakata ya punde zaidi ya uagizaji wa mafuta, hatimaye kampuni ya One Petroleum imejitokeza kujitetea. Kampuni hiyo ikisema iliagizwa na serikali kuliokoa taifa kutokana na uhaba wa mafuta. Kampuni hiyo ikisema kwamba imepata hasara kubwa katika mvutano huo na sasa inatishia kuelekea mahakamani.