Ageuza viatu vilivyotupwa kuwa kazi ya sanaa
-
Eugene Komboye hukusanya viatu vya plastiki vilivyotupwa katika madampo na kingo za mito nchini Nigeria na kuvibadilisha kuwa kazi za sanaa.
-
Msanii huyo mwenye umri wa miaka 30 anasema amekuwa akifanya hivyo kwa zaidi ya miaka mitano ili kusaidia kuokoa mazingira, baada ya kugundua kuwa viatu vya raba vinaweza kuchukua hadi miaka 80 kuharibika.
-
-
-
#bbcswahili #nigeria #mazingira #uchafuziwamazingira #plastiki
18 Aug 2025
- Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has announced plans to set up a joint committee with the CEOs of insurance companies across the country to tackle fraudulent activities that have been plaguing the Social Health Authority (SHA).
18 Aug 2025
- President William Ruto has vowed to ensure that Members of Parliament and Senators behind an extortion scheme called soko huru are apprehended.
18 Aug 2025
- The death toll from a blast at a gunpowder plant near Moscow rose to 20, with more than 100 wounded, the authorities said on Monday, as a probe began into possible industrial safety violations.