Skip to main content
Skip to main content

Kanini Kega aripoti kuvamiwa kwa gari Nyandarua

  • | Citizen TV
    5,208 views
    Duration: 3:04
    Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Kanini Kega leo ameandikisha taarifa katika Kituo cha Polisi cha Ol-Joro-Orok, Kaunti ya Nyandarua, kufuatia madai ya kuvamiwa kwa gari lake katika eneo hilo jana usiku. Kega alidai tukio hilo lilitokea alipokuwa akitoka katika mkutano wa kisiasa wa chama cha DCP katika eneo bunge la Ol Kalou. Hata hivyo, dereva wa Kega alikamatwa kwa kuendesha gari hilo ambalo halikuwa na nambari ya usajili.