- 106 viewsDuration: 3:34Sekta ya afya katika Kaunti ya Trans Nzoia, imeongeza juhudi na mikakati kabambe ya kuboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaougua kifafa. Takwimu kutoka Idara ya Afya zinaonyesha kuwa idadi kubwa ya wagonjwa hao hukabiliwa na changamoto ya kugharamia matibabu kutokana na umaskini.