Skip to main content
Skip to main content

Kaunti zatakiwa kutenga fedha kwa huduma za watoto wenye ulemavu

  • | Citizen TV
    148 views
    Duration: 1:37
    Serikali za kaunti zimetakiwa kutenga mgao maalum wa fedha kwa ajili ya kuhudumia watoto wenye ulemavu ili kuhakikisha wanapata huduma za msingi wanazostahili.