- 228 viewsDuration: 51sBaraza la maaskofu wa kanisa katoliki limewaonya wanasiasa dhidi ya kufanya kampeni za mapema ambazo wanasema zimesheheni semi zinazotishia umoja na uwiano wa kitaifa. Katika taraifa , maaskofu hao walilalamikia ongezeko la visa vya machafuko na waumini kushambuliwa kanisani na kutaka wahusika wa ghasia zilizoshudiwa kanisani Nyeri kuchukuliwa hatua za kisheria.