- 554 views
Kenya imepokea msaada wa vifaa vya matibabu vya thamani ya shilingi milioni 65 kupiga jeki sekta ya afya nchini. Msaada huu kutoka kwa serikali ya Ujerumani inajumuisha kliniki tatu tamba, kliniki nyingine nne na hata majokofu ya safari. Msaada huu zaidi utasaidia utoaji wa chanjo haswa maeneo ya kaskazini mwa Kenya. Waziri wa afya Susan Nakhumicha amesema msaada huu utachangia mpango wa afya kwa wote huku mkewe Rais Rachel Ruto akisema vifaa hivi vitasaidia kuhakikisha watoto wote nchini wanapata chanjo
Kenya imepokea msaada wa vifaa vya matibabu vya thamani ya shilingi milioni 65
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
- 19 May 2024 - Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
- 19 May 2024 - Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
- 19 May 2024 - Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
- 19 May 2024 - Firm charts green energy path with low-carbon emission engines
- 19 May 2024 - Kabarak, FKE unite to bridge industry gaps
- 19 May 2024 - Ruto allies accuse leaders of tribalism over Limuru 3
- 19 May 2024 - Gachagua expected to fight back after week of silence amid attacks
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute
- 19 May 2024 - The Orange Democratic Movement (ODM) party MPs have rallied to have the Azimio coalition shoot down the Finance Bill, 2024 terming it punitive and unbearable.