Skip to main content
Skip to main content

Kenya Kwanza na serikali jumuishi waimarisha kampeni za Ruto 2027

  • | Citizen TV
    2,842 views
    Duration: 3:00
    Viongozi wa Kenya Kwanza na wenzao wa Serikali jumuishi waliendeleza siasa za kumuunga mkono Rais William Ruto kwa kipindi cha pili cha uongozi. Wakizungumza kule Mumias, Lugari na Budalangi Viongozi hao wameahidi kuwatoa kijasho upinzani katika uchaguzi mkuu ujao.